Mark 9:41
41 aAmin, nawaambia, yeyote awapaye ninyi kikombe cha maji kwa Jina langu kwa sababu ninyi ni mali ya Al-Masihi, hakika hataikosa thawabu yake.”Kusababisha Kutenda Dhambi
(Mathayo 18:6-9; Luka 17:1-2)
Copyright information for
SwhKC